Saturday, July 30, 2011

Msanii wa hip hop nchini Marekani Ludacris awasali Tanzania

Msanii wa hip hop nchini Marekani na muigizaji filamu Brian Christopher Bridges pak Ludacris awasali Tanzania kwa ajili ya kuonyesha maadhimisho ya miaka kumi ya Serengeti Fiesta 2011 kufanyika siku ya jumamosi Julai 30 katika viwanja Viongozi Club, Kinondoni, Dar es Salaam. 


Mwakilishi wa Prime Time Promotions/Clouds Media Group,Balozi Kidamba akimuongoza Mwanamuziki Ludacris pamoja na watu wake kwenye hoteli aliyofikia -Kempinsk Kilimanjaro jioni ya leo mara baada ya kuwasili jijini Dar tayari kwa kukamua onyesho lake moja ndani ya viwanja vya Leaders Club jijini Dar. 

No comments: