Monday, July 25, 2011

Pinda akiwa na wanafunzi wa CANADA



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na wanafunzi kutoka Canada ambao walishiriki katika kuchangisha fedha na kujenga kisima katika kitongoji cha Nyerere, Msalato, Dodoma. Alikuwa katika mkutano wa uzinduzi wa kisima hicho Julai 23,2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Ludacris Ku-perform Tanzania July 30..!!!


  
Ludacris kutinga ndani ya Bongo dar es salaam kuwachizisha wa bongo na mizuka yao.

 Serengeti Fiesta 2011, Itachukua Nafasi a Julai 30.
Tukio hilo, litafanyika katika viwanja vya LEADERS CLUB, Kinondoni, Dar es Salaam.
So wabongo walabata kaa mkao wa kula na Ludacriss 

 







UN yaomba ulimwengu utoe michango ya dharura kwa Pembe ya Afrika

                                         Jacques Diouf,Mkurugenzi
                                                 mkuu wa FAO

Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo, FAO, limeutolea wito ulimwengu mzima kufanya kila linalowezekana kuchukua hatua za kuliokoa eneo la Pembe ya Afrika linalokumbwa na baa kubwa la njaa na ukame.

Kauli hizo zimetolewa katika kikao cha dharura cha FAO kilichoandaliwa mahsusi kwasababu ya tatizo hilo. Kulingana na takwimu rasmi, kiasi ya Wasomali milioni 3.7 wanakabiliwa na kitisho cha njaa. Ifahamike kuwa njaa ukame umeliathiri eneo la Pembe ya Afrika zikiwemo nchi za Ethiopia na Kenya.

Kauli hizo zimetolewa katika kikao cha dharura cha FAO kilichoandaliwa mahsusi kwasababu ya tatizo hilo. Kulingana na takwimu rasmi, kiasi ya Wasomali milioni 3.7 wanakabiliwa na kitisho cha njaa. Ifahamike kuwa njaa ukame umeliathiri eneo la Pembe ya Afrika zikiwemo nchi za Ethiopia na Kenya.

Hali ni mbaya

 Akizungumza katika ufunguzi rasmi wa kikao hicho cha dharura, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kilimo na Chakula, FAO, Jacques Diouf, alisema kuwa hali ni mbaya na hatua za dharura zinahitajika ili kuwanusuru wakaazi wa eneo hilo la Pembe ya Afrika.

Mapema mwezi huu, Umoja wa Mataifa ulitangaza rasmi kuwa maeneo mawili ya Somalia yanakabiliwa na njaa. Ifahamike kuwa maeneo hayo yanayodhibitiwa na wapiganaji wa Al Shabaab wanaoaminika kuwa na mafungamano na kundi la kigaidi la Al Qaeda.

Kwa upande wake, Naibu Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya Somalia aliye pia Waziri wa Mambo ya Nje alikihudhuria kikao cha leo, Mohamud Ibrahim anaelezea kuwa,

"Wasomali wanakabiliwa na njaa kwasababu kadhaa ikiwemo mvua chache kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita, harakati za kundi la Al Shabaab zilizoweka amri ya kuyazuia mashirika ya msaada kusambaza vyakula, pamoja na usalama duni katika eneo hili.

Shukurani za Sara Baby Shower ndani ya Meadowbrook Park

Super Middlefield grill Iddy Shah akichezesha nyama choma kwa kila mwenye kutamani nyama jana kwenye Shukurani za Sara Baby Shower iliyofanyika Meadowbrook Park Maryland nchini Marekani.

 Grill linalotoa moshi harufu nzuri ya Bongo Flaver, nyama tayari kwa kuliwa
 Stahamili joto la jikoni upate kula nyama, mrembo akiwa na subira ya kusubiri grill nyama choma chini ya mchomaji Iddy Shah subiri ziwive!
Super Middlefield grill Iddy Shah akichezesha nyama choma kwa kila mwenye kutamani nyama jana kwenye Shukurani za Sara Baby Shower iliyofanyika Meadowbrook Park Maryland nchini Marekani. 




MGOMO WA MADEREVA WATULIA, HALI YA UTULIVU YAREJEA TUNDUMA MBEYA.

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Gilbert Kimolo akiwasilisha hoja kwa Waziri mbele ya madereva mjini Tunduma jana. 

 Mwenyekiti wa wamiliki wa malori nchini ''DOLA'' akielezea jambo katika mkutano huo mjini Tunduma.
Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Advocate Nyombi akiwa kwenye mkutano huo jana mjini Tunduma. 

Madereva wakiwa kwenye mkutano wa hadhara mjini Tunduma mkoani Mbeya wakati wa maridhiano ya kusitisha mgomo baada ya Waziri Omary Nundu kufika eneo hilo jana mjini Dodoma na kuwasihi waache mgomo huo Serikali inashughulikia.

KAMATI MAALUM YA HALMASHAURI KUU YA CCM ZANZIBAR YAKUTANA

 Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais mstaafu wa Zanzibar, Dk AmaanAbeid Karume,(katikati) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,na mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,DkAli Mohamed Shein,Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,(kulia),kwa pamoja waiimba wimbo wa chama kabla ya kuanza kwa kikao cha siku moja cha Kamati maalum ya halmashauri kuu ya CCM ya Zanzibar,katika ukumbi wa CCM Kisiwandui

Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais mstaafu wa Zanzibar, Dk Amaan Abeid Karume,akiendesha kikao cha siku moja cha kamati maalum ya halmashauri kuu ya taifa ya Zanzibar katika ukumbi wa CCM Kisiwandui jana,(kushoto) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,na mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa,Dk Ali Mohamed Shein

Wiz Khalifa


Birth name Cameron Jibril Thomaz
Born September 8, 1987 (age 23)
Minot, North Dakota, United States
Origin Pittsburgh, Pennsylvania, United States
Genres Hip hop
Occupations

Rapper, Singer
Years active 2005–present
Labels Rostrum, Warner Bros., Atlantic
Associated acts Curren$y, Snoop Dogg, Big Sean, Fashawn, Mac Miller, Tinie Tempah, Rick Ross 

KUNAKO BARCLAYS PREMIER LEAGUE


Sat 13th August 2011

Blackburn v Wolves 15:00
Fulham v Aston Villa 15:00
Liverpool v Sunderland 15:00 
QPR v Bolton 15:00
Tottenham v Everton 15:00
Wigan Athletic v Norwich City 15:00
Newcastle v Arsenal 17:30
Sun 14th August 2011
Stoke City v Chelsea 13:30
WBA v Man Utd 16:00 

BREAKING NEWS: KAMANDA SIRRO AHAMISHWA MWANZA NAFASI YAKE KUSHIKWA NA BAROW LYIMO

Kamanda wa Mkoa wa Mwanza mpiganaji, Simon Sirro amehamishwa na sasa anakwenda makao makuu ya jeshi la Polisi nchini kushika nafasi ya Venance Tossi kuendesha kikosi cha Oparesheni Maalum. Mabadilio hayo yameanza sasa na nafasi yake itashikwa na Kamanda mkoa wa Tabora Barow Lyimo.