Monday, July 25, 2011

MGOMO WA MADEREVA WATULIA, HALI YA UTULIVU YAREJEA TUNDUMA MBEYA.

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Gilbert Kimolo akiwasilisha hoja kwa Waziri mbele ya madereva mjini Tunduma jana. 

 Mwenyekiti wa wamiliki wa malori nchini ''DOLA'' akielezea jambo katika mkutano huo mjini Tunduma.
Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Advocate Nyombi akiwa kwenye mkutano huo jana mjini Tunduma. 

Madereva wakiwa kwenye mkutano wa hadhara mjini Tunduma mkoani Mbeya wakati wa maridhiano ya kusitisha mgomo baada ya Waziri Omary Nundu kufika eneo hilo jana mjini Dodoma na kuwasihi waache mgomo huo Serikali inashughulikia.

No comments: