Monday, July 25, 2011

Pinda akiwa na wanafunzi wa CANADA



Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na wanafunzi kutoka Canada ambao walishiriki katika kuchangisha fedha na kujenga kisima katika kitongoji cha Nyerere, Msalato, Dodoma. Alikuwa katika mkutano wa uzinduzi wa kisima hicho Julai 23,2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

No comments: