Monday, July 25, 2011

BREAKING NEWS: KAMANDA SIRRO AHAMISHWA MWANZA NAFASI YAKE KUSHIKWA NA BAROW LYIMO

Kamanda wa Mkoa wa Mwanza mpiganaji, Simon Sirro amehamishwa na sasa anakwenda makao makuu ya jeshi la Polisi nchini kushika nafasi ya Venance Tossi kuendesha kikosi cha Oparesheni Maalum. Mabadilio hayo yameanza sasa na nafasi yake itashikwa na Kamanda mkoa wa Tabora Barow Lyimo. 

No comments: