Thursday, July 28, 2011

TUSKER ALL STARS


Tusker Project Fame's Tusker All Stars 2011 sees Hemedi Suleiman [TPF2] and another Tanzanian fan-favorite Peter Msechu [TPF4] both selected to join TAS. Uganda's Davis Ntare [TPF4 Winner] and dance-diva Caroline Nabulime[TPF3] also joined the star-studded cast of contestants. Kenyan contestants of 2011's TPF will be Amileena Mwenesi [TPF4], Bernard Ng'ang'a 'Ng'ang'alito' [TPF3] and Patricia Kihoro [TPF3]. Rwanda's Alpha Rwirangira [TPF3 Winner] will also be joining Tusker Project Fame 2011. 

WATUMIAJI MILIONI 7.5 WA FACEBOOK...UNDER 13 YRS...!

Utafiti umeonesha kuwa watumiaji milioni 7.5 kati ya milioni 20 millioni wa Facebook kwa mwaka jana wana umri wa miaka 13,na milioni 1 wametishiwa,kunyanyaswa kwa kutumia mtandao huo

Pia watumiaji milioni 5 wa Facebook wana miaka 10 zaidi au chini ya hapo,wanatumia mtandao huo bila ya ruhusa ya wazazi wao huku masharti ya kujiunga na mtandao huo wa Facebook unashauri angalau mtumiaji awe na miaka 13 lakini inasemekana kuwa wazazi wengi wanawapa vyeti feki vya kuzaliwa wakitaka ku-sign up kujiunga na mtandao huo 

WABUNGE CHADEMA....WATOLEWA BUNGENI LEO...!

MH GODBLESS LEMA - ARUSHA MJINI 

 Wabunge watatu toka Chama cha CHADEMA wametolewa nje ya ukumbi wa Bunge leo mchana na Naibu Spika,Job Ndugai...

MH TUNDU LISSU - SINGIDA MASHARIKI

                                                 MH PETER MSIGWA - IRINGA MJINI
Mbunge wa Arusha-Mjini,Mh GodBless Lema,Mbunge wa Iringa-Mjini Mh Mchungaji Peter Msigwa na Mbunge wa Singida-Mashariki,Mh Tundu Lissu walitolewa nje ya ukumbi wa Bunge kwa utovu wa nidhamu baada ya kuongea bila ya ruhusa ya Naibu Spika....

NANI KASEMA KUWA OFISINI WATU HUWA HAWALALI JE KAMA KAFANYA SANA KAZI


Jamaaa kauchapa usingizini ofisini 

luka katika pozi za ofisini 

KIKAO CHA WANACHAMA WA CONTRACTOR OF TANZANIA*CATA*

Wakwanza kushoto ni Kaimu Mwenyekiti Gaitan na katibu Bw, Nathani wakiongoza kikao cha wakandarasi mkoani Iringa.



Baadhi ya Wajumbe wa chama cha makandarasi na wamwisho kushoto ni Meneja wa Saccos ya CATA Mkoani Iringa. 


wajumbe wapo makini na mada zinazojadiliwa  

wakitafakari mada zijadiliwazo kuwa zinamanufaa. 


DAVID BECKHAM....ATOA YA MOYONI KUHUSU SOMALIA...!

Mwanasoka wa England,David Joseph Beckham ambaye ni Unicef Goodwill Ambassador ameandika ujumbe wenye masikitiko wa kuomba msaada kwa wanaokabiliwa na baa la njaa,hasa watoto nchini Somalia.... 



Beckham alifunguka toka chini ya mvungu wa moyo wake kuwa “Watoto wapatao milioni 2 toka Somalia wanakabiliwa na njaa na kila baada ya dakika 6 mtoto mmoja anafariki kutokana na njaa na kufunguka zaidi kuwa hapendi kuona watoto wake Brooklyn, Romeo,Cruz au Harper aende kulala bila ya kula sembuse mtoto mwingine na kutoa ujumbe “They need our help....They need our attention....They need our action”