Thursday, July 28, 2011

DAVID BECKHAM....ATOA YA MOYONI KUHUSU SOMALIA...!

Mwanasoka wa England,David Joseph Beckham ambaye ni Unicef Goodwill Ambassador ameandika ujumbe wenye masikitiko wa kuomba msaada kwa wanaokabiliwa na baa la njaa,hasa watoto nchini Somalia.... 



Beckham alifunguka toka chini ya mvungu wa moyo wake kuwa “Watoto wapatao milioni 2 toka Somalia wanakabiliwa na njaa na kila baada ya dakika 6 mtoto mmoja anafariki kutokana na njaa na kufunguka zaidi kuwa hapendi kuona watoto wake Brooklyn, Romeo,Cruz au Harper aende kulala bila ya kula sembuse mtoto mwingine na kutoa ujumbe “They need our help....They need our attention....They need our action” 


No comments: