Thursday, July 28, 2011

WABUNGE CHADEMA....WATOLEWA BUNGENI LEO...!

MH GODBLESS LEMA - ARUSHA MJINI 

 Wabunge watatu toka Chama cha CHADEMA wametolewa nje ya ukumbi wa Bunge leo mchana na Naibu Spika,Job Ndugai...

MH TUNDU LISSU - SINGIDA MASHARIKI

                                                 MH PETER MSIGWA - IRINGA MJINI
Mbunge wa Arusha-Mjini,Mh GodBless Lema,Mbunge wa Iringa-Mjini Mh Mchungaji Peter Msigwa na Mbunge wa Singida-Mashariki,Mh Tundu Lissu walitolewa nje ya ukumbi wa Bunge kwa utovu wa nidhamu baada ya kuongea bila ya ruhusa ya Naibu Spika....

No comments: