Thursday, July 28, 2011

KIKAO CHA WANACHAMA WA CONTRACTOR OF TANZANIA*CATA*

Wakwanza kushoto ni Kaimu Mwenyekiti Gaitan na katibu Bw, Nathani wakiongoza kikao cha wakandarasi mkoani Iringa.



Baadhi ya Wajumbe wa chama cha makandarasi na wamwisho kushoto ni Meneja wa Saccos ya CATA Mkoani Iringa. 


wajumbe wapo makini na mada zinazojadiliwa  

wakitafakari mada zijadiliwazo kuwa zinamanufaa. 


No comments: