Thursday, July 28, 2011

WATUMIAJI MILIONI 7.5 WA FACEBOOK...UNDER 13 YRS...!

Utafiti umeonesha kuwa watumiaji milioni 7.5 kati ya milioni 20 millioni wa Facebook kwa mwaka jana wana umri wa miaka 13,na milioni 1 wametishiwa,kunyanyaswa kwa kutumia mtandao huo

Pia watumiaji milioni 5 wa Facebook wana miaka 10 zaidi au chini ya hapo,wanatumia mtandao huo bila ya ruhusa ya wazazi wao huku masharti ya kujiunga na mtandao huo wa Facebook unashauri angalau mtumiaji awe na miaka 13 lakini inasemekana kuwa wazazi wengi wanawapa vyeti feki vya kuzaliwa wakitaka ku-sign up kujiunga na mtandao huo 

No comments: