Wednesday, July 27, 2011

MUUAJI WA NORWAY....ALIM-MIND STL TOKA KENYA...!

                                                         STELLA MWANGI AKA STL

Muuaji anayedaiwa kuua watu zaidi ya 90 toka Norway,Anders Behring Breivik inadaiwa kuwa hakupenda jinsi Rapper toka Kenya anayeishi Norway Stella Mwangi aka STL aliyeiwakilisha nchi ya Norway kwenye Eurovision contest May 14,2011 jamaa alitoa maneno makali kiaina kwa Stella Mwangi akifunguka; Nchi yangu haina maana kabisa,siasa zake hazijatulia inakuaje mzamiaji toka Kenya,tena anaimba bongo song analiwakilisha bara la Ulaya na nchi yangu? Bora Ujerumani washinde!

ANDERS BEHRING BREIVIK

STL alishiriki kwenye Melodi Grand Prix 2011 na kuiwakilisha nchi ya Norway kwenye Eurovision Song Contest 2011,iliyofanyika jijini Düsseldorf,Ujerumani February 2011,na mwezi May 2011 aliiwakilisha Norway kwenye fainali ya Eurovision Song Contest kupitia wimbo wake wa Haba Haba 

No comments: