Wednesday, July 27, 2011

T-PAIN....AZINGUANA NA KAMPUNI YA AUTO TUNE?!

                                             FAHEEM NAJM AKA TALHASEE PAIN (T-PAIN)

Kuna mvutano wa kibiashara uliofikishwa kwenye vyombo vya sheria, kati ya Rapper na Producer,Faheem Najm aka T–Pain na Antares Technologies ambayo ambayo ilikua na mkataba na T-Pain ya matumizi ya Autotune affect
AUTO-TUNE EFFECT
  
T-Pain ambaye ni maarufu sana kwa kutumia Autotune effect,alimaliza mkataba na kampuni hiyo mwezi June na na kuanzisha kampuni iitwayo Izotope itakayo-promote audio effects za T-Pain ziitwazo The T-Pain Effect, na T-Pain alifungua mashitaka kwenye mahakama ya California akidai kuwa Kampuni ya Antares inaendelea kumtumia kwenye biashara ya bidhaa zake kama kawa,huku mkataba ukiwa umekwisha na pia itamuharibia biashara yake yenye teknolojia iitwayo I Am T-Pain Mic Kikubwa zaidi T-Pain anataka kampuni hiyo ya Antares iache kutumia picha,sauti au kitu chake chochote kwenye bidhaa zake 

No comments: