Friday, August 12, 2011

SERIKALI YAIFUNGIA BP MIEZI MITATU


 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Haruna Masebu (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu tamko la Serikali la kuifungia Kampuni ya BP, kwa miezi mitatu kwa kutotimiza agizo la kuacha mgomo wa kuuza mafuta. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)



No comments: