Monday, August 29, 2011

WAJUE WAZEE WA ZAMANI

Wajue Fauvette
Marehemu Ndala Kasheba na King Kiki

                                        Maquis wakiwa katika show yao moja jijini Nairobi
Mbombo wa Mbomboka akifuatiwa na Adios, na mwisho Audax, kwa nyuma na Sax ni Mzee Chinyama


Visa alivyotenda Wallace mama
Sintovisahau, maishani mwangu,
Alinidanganya nihame kwetu, kisha anipe tabu mimi,
Halali nyumbani Wallace sijui yu wapi.
Chorus
Chakula nakula kwa jirani jama
Mafuta ya taa kwa jirani jama
Mwishowe jirani wamechoka jama
Kulala na lala peke yangu jama
Tabora Jazz Band 1969/70
Wallace kanifukuza nende kwetu

No comments: