Tuesday, September 20, 2011

HAPPY BITHDAY BI DADA PAULINA KUYE

Atty Sanga nae ni mmoja kati ya watu walioudhuria birthday ya paulina 

Mtoto aliyezaliwa akimtengeneza kola Mc wa Shughuli Sagin Majura 

Yusuph Mkule akimpa pongezi paulina 

                                       Maregesi Gilishoni nae alihudhuria bithday ya paulina
Happy Matanji, Maija Zayumba na Abba Ngirangwa wakiteta jambo 

paulina akipata pongezi klutoka kwa Abba 

Moja ya majirani wa paulina walioudhuria sherehe hiyo. 

Beatrice Lema, Dj Man Simple na Innocent 

                                        Yusuph Mkule, Mama Ashrey na Joyce katika pozi
Happy Matanji 










                                                                            Kata keki tule
Happy Birthday 

                                                    Kitu cha keki na Punch pembeni
                                         Abba Sizo nae alikuwa partener wa mda katika birthday

Monday, September 19, 2011

Wanafunzi wa Royal College wachangia damu

Wizara ya Afya kupitia mfuko maalum wa kuchangisha Damu salama, leo umetembelea katika chuo cha Uandishi na Utangazaji cha Royal Tanzania College kwaajili ya kutoa elimu na kuchangisha damu.

Wanafunzi wa cho hicho waliweza kupata elimu kutoka kwa mwakilishi wa damu salama ambaye ali;kuja hapo ndugu Joseph na baadaye kujiunga na Staff wa chuo hicho kwaajili ya kutoa damu hiyo.

Miongoni mwa faida ambazo mtu anapotoa damu ni kusaidia watu ambao huenda wangefariki kutokana na kukosa damu, ikiwemo waliopata ajali, wanaojifungua na wenye magonjwa mbalimbali ambayo wanahitaji damu. pia alisema kwamba mtu anapotoa damu huwa anajijua kama yupo group gani la damu, hivyo ni rahisi kwakwe kupata huduma ya damu pindi inapohitaji hivyo kwakuwa anakuwa anajulikana yeye ni group gani. pia amesema mtu huweza kujua afya yake kwakuwa hupima afya bule, bila ya hata gharama wakati hospitalini huwa gharama kubwa kuangalia afya. mwisho mwanachama hupewa kitambulisho cha uanachama ambacho kitakuwa kikimsaidia yeye na familia yake, ingawa hata kama sio mwanachama utapewa damu lakini wewe huwa unajulikana kitaifa kama ni mchangia damu.


Principle wa Cho aliyekaa chini Mr Omary Bahari na

Msimamizi akieleza jinsi ya kuchangia damu, alisema anachunguza, afya, wingi wa damu, magonjwa ya kuambukiza na umri wa mtu anayetakiwa kutoa damu lazima uzidi miaka kumi na nane.

  

Sunday, September 11, 2011

BAADHI YA MAJERUHI WA AJARI YA MELI WAKIENDELEA KUTAABIKA NA KUPATIWA HUDUMA YA KWANZA









AJARI YA MELI MV SPICE ISLENDER YA ZANZIBAR

Nikweli tumepoteza ndugu zetu watanzania wengi sana japo rambirambi nyingi zimetolewa lakini uhai wao hutarudi tena machoni mwetu, kutokana na ajari hiyo watanzania tumejifunza kwa mara ya pili katika majanga kama haya la kwanza lilikuwa la MV Bukoba pia tulipoteza ndugu zetu.

Wito kwa Serikali ni kwamba inaonekana tupo nyuma sana katika usimamizi wa vyombo vya majini kwa sababu meli hiyo inauwezo wa kubeba watu 500 lakini kwa mujibu wa ripoti mbalimbali inasemekana meli hiyo ilibeba watu zaidi ya 610( je? nini mchango wako kuhusu ajari hiyo) toa maaoni yako hapo chini

USIKU WA PEPSI NDANI YA CLUB VIP NI USIKU WA MARAFIKI KWELI


Bwana pepsi Dj Man Simple akimpa zawadi mshindi wa shindano la pepsi ndani ya club 


washindi wa michano ndani ya usiku wa pepsi wakipata zawadio zao 

Zamu ikafika watu wakapiga kelele kuwa watangazaji wa Nuru Fm kushindana kunywa Soda na hapa ni kati ya Jstar kushoto na Moses Lwago kulia wakishusha pepsi faster faster duuuuuuuuuuuuuuhhhhhhh!!!!!11 



Jstar akiwapagawisha marafiki wa pepsi walioudhuria club VIP siku ya jumatano