Sunday, September 11, 2011

USIKU WA PEPSI NDANI YA CLUB VIP NI USIKU WA MARAFIKI KWELI


Bwana pepsi Dj Man Simple akimpa zawadi mshindi wa shindano la pepsi ndani ya club 


washindi wa michano ndani ya usiku wa pepsi wakipata zawadio zao 

Zamu ikafika watu wakapiga kelele kuwa watangazaji wa Nuru Fm kushindana kunywa Soda na hapa ni kati ya Jstar kushoto na Moses Lwago kulia wakishusha pepsi faster faster duuuuuuuuuuuuuuhhhhhhh!!!!!11 



Jstar akiwapagawisha marafiki wa pepsi walioudhuria club VIP siku ya jumatano   

No comments: